15.09.2016
Lula atuhumiwa kuwa "kiongozi mkuu" wa mtandao wa rushwa
![]()  | 
| Rais wa zamani wa Brazil Luiz Inacio Lula da Silva na mkewe Marisa Leticia Agosti 15, 2016 katika mji wa Sao Paulo | 
 Nchini Brazil, mwendesha mashitaka anayehusika na 
uchunguzi wa kashfa ya rushwa katika kampuni ya umma ya mafuta ya 
Petrobras, aliomba Jumatano, Septemba 14 kushtakiwa kwa rais wa zamani 
Lula kwa rushwa na kujitajirisha kinyume cha sheria.ENDELEA
15.09.2016
Jenerali Khalifa Haftar apokelewa Ndjamena na Rais Déby
 Jumanne wiki hii jenerali muasi 
alijielekeza katika mji mkuu wa Chad, Ndjamena. Alipokelewa na Rais 
Deby, ambaye alikuwa alimuomba kukutana naye.ENDELEA 
14.09.2016
Babu auzaye aiskrimu ateka nyoyo za wengi
 Fidencio Sanchez, 89, alilazimika kustaafu 
majira ya kiangazi, baada ya bintiye kuaga dunia, na ikambidi awe mlezi 
wa wajukuu wake.ENDELEA
14.09.2016
![]()  | 
| Nicolas Sarkozy na David Cameron waliongoza kampeni dhidi ya Gaddafi | 
14.09.2016
Marekani kupeleka misaada ya kijeshi Israel kwa mkataba wa dola Bilioni 38
Katika mkataba huo Israel watapokea dola milioni 500 kwa mwaka kwa ajili ya mpango wa ulinzi wa makombora.ENDELEA 
12.09.2016
Mapigano yazuka kumiliki visima vya mafuta nchini Libya
 Afisa
 mmoja wa usalama amekanusha kuwa vikosi vinavyomtii jenerali Khalifa 
Haftar vinadhibiti miji ya Sirda, Ras Lanuf na ZuitinaENDELEA
12.09.2016
Waasi waonyesha wasiwasi kusitishwa mapigano nchini Syria
![]()  | 
| Miundombinu na majengo vimeharibiwa vibaya | 
Kuna madai kuwa moja ya kundi la waasi la Ahrar al-Sham watakataa kusitisha mapigano hayo.  ENDELEA
12.09.2016
Shambulio la kigaidi latibuliwa Mombasa
![]()  | 
| Kituo cha police cha Central mjini Mombasa Kenya | 
 
Maafisa wa 
polisi nchini Mombasa wanasema kuwa walitibua jaribio hilo na kufanikiwa
 kuwaua wanawake watatu huku wawili wakikamatwa.ENDELEA
12.09.2016
Mo Farah afedheheshwa katika uwanja wa ndege Marekani
Farah 
ambaye alihifadhi taji lake katika mbio za mita 5,000 na 10,000 katika 
michezo ya Olimpiki ya Rio  pamoja na familia yake walikuwa wakisafiri 
kutoka Atlanta kuelekea nyumbani kwake huko Partland Oregon. 
12.09.2016
Hilary Clinton augua homa ya mapafu
 Clinton aliondoka mapema, picha zilizowekwa mtandaoni zinamuonesha 
akisaidiwa na msaidizi wake, huku akitaka kuanguka alipokaribia kwenye 
gari, lakini baadae bi clinton alitokea kwenye nyumba ya mwanae na 
kuwaambia waandishi wa habari kuwa anajisikia vizuriENDELEA
10.09.2016
Ugiriki katika hatari ya kutopata mkopo zaidi
 Mawaziri wa fedha wa mataifa wanachama wa umoja wa ulaya wanajiandaa 
kukutana ugiriki,Taifa hilo limeonyesha dalili huenda likashindwa 
kufikia ahadi za kiuchumi ilizotakiwa, kupata sehemu nyingine ya mkopo 
inaohitaji.ENDELEA
10.09.2016
Polisi Ufaransa inawahoji wanawake 3 kwa tuhuma za ugaidi
Mmoja wa raia aliowaona wanawake hao
 kabla ya kukamatwa kwenye eneo la Boussy-Saint-Antoine, kusini mwa jiji
 la Paris, amesema wanawake hao walikuwa na hofu muda mwingi na walikuwa
 wakitazamatazama pande walizokuwa wakitokea.ENDELEA 
10.09.2016
Amani Syria: Marekani na Urusi zaafikiana
![]()  | 
| Matokeo ya vita vya kiraia nchini Syria | 
 
Marekani na Urusi zimekubaliana mpango unaolenga kumaliza vita nchini Syria na kuanza mchakato wa mpito wa kisiasa.ENDELEA
10.09.2016
Maji ya mto yageuka 'rangi ya damu' Urusi
Wachunguzi wa masuala ya mazingira 
nchini Urusi wanajaribu kubaini sababu iliyoyafanya maji ya mto ulio 
karibu na kiwanda cha nikeli cha kampuni ya Norilsk Nickel kubadilika na
 kuwa ya rangi nyekundu.ENDELEA 
10.09.2016
Korea Kaskazini yalipua bomu la nyuklia sawa na la Hiroshima
Bomu lililoangushwa Hiroshima mwaka 1945 lilikuwa na nguvu ya kilo tani 15 (tani 15,000).
Bomu lenye nguvu zaidi la nyuklia lililowahi kulipuliwa lilikuwa lile lililopewa jina Tsar-bomba, ambalo lililipuliwa na Urusi mwaka 1961.ENDELEA
Bomu lenye nguvu zaidi la nyuklia lililowahi kulipuliwa lilikuwa lile lililopewa jina Tsar-bomba, ambalo lililipuliwa na Urusi mwaka 1961.ENDELEA
O9.09.2016
 Uratibu wa mashirika ya kiraia
 katika mkoa wa Tanganyika ulitangaza Alhamisi hii Septemba 8 kuwa  
"shughuli zitasimama" katika mji wa Kalemie kwa kupinga dhidi ya 
kukithiri kwa ukosefu wa usalama katika mji huo.ENDELEA
O9.09.2016
Obama akutana na rais wa Ufilipino aliyemtusi
 Mzozo Kati ya Obama na Dulerte 
ulianza  wakati Obama alibaini kwamba angemuuliza kiongozi Rais Rodrigo 
Dulerte maswali kuhusiana na mauaji ya kiholela ya watu wanaotuhumiwa 
kuhusika katika ulanguzi wa madawa ya kulevya nvchini Ufilipino.ENDELEA
O9.09.2016
Walimu zaidi ya 10,000 wasimamishwa kazi Uturuki
![]()  | 
| Recep Tayyip Erdogan, katika mji wa Ankara Julai 29, 2016 aendelea na operesheni yake ya kuwasimamisha kazi wafanyakazi mbalimbali wa umma. . | 
 Alhamisi wiki hii Serikali ya Uturuki 
imewasimamisha kazi walimu zaidi ya 10,000 wakituhumia kuwa na uhusiano 
na kundi la wapiganaji la PKK katika hali ya kamata kamata katika sekta 
ya elimu baada ya mapinduzi yaliyoshindwa ya Julai, afisa mmoja wa 
Uturuki ametangaza.ENDELEA
O9.09.2016
Wezi wazima safari ya bajaji ya kawi ya jua Ufaransa
![]()  | 
| Aiwa nje ya Kanisa Kuu la Mtakatifu Alexander Nevski mjini Sofia, Bulgaria | 
 Safari ya miezi saba ya bajaji 
inayotumia kawi ya jua na nguvu za umeme, ambayo ilikuwa inatoka India 
kwenda hadi Uingereza, imesitishwa kwa muda baada ya wezi kuiba hati ya 
kusafiria ya dereva wa gari hilo karibu na mji wa Paris.ENDELEA
O9.09.2016
Mwanamke avunja rekodi ya ndevu ya Guinness World Record
 Mwanamitindo mwenye ndevu za urefu 
wa inchi sita ametambuliwa na Guinness World Record kuwa mwanamke wa 
umri mdogo zaidi duniani kuwa ndevu zilizokomaa kabisa.ENDELEA
O7.09.2016
Mhubiri wa kiislamu Choudary ahukumiwa kifungo cha miaka mitano jela
 
Mhubiri wa Kiislamu mwenye msimamo mkali wa kidini
 Anjem Choudary, alihukumiwa Jumanne miaka mitano na nusu gerezani na 
mahakama ya London kwa kosa la kutoa wito wa kuunga mkono wanajihadi wa 
kundi la Islamic State (IS).ENDELEA
O7.09.2016
Askari watatu wa Uturuki wameuawa Jumanne hii 
kaskazini mwa Syria katika shambulizi la kwanza baya kabisa kuhusishwa 
kundi la Islamic State (IS) tangu kuanza kwa mashambulizi ya Uturuki 
wiki mbili zilizopita, kwa mujibu wa vyanzo rasmi.ENDELEA 
07.09.2016
 Baraza la Usalama la Umoja wa 
Mataifa limeshutumu vikali hatua ya Korea Kaskazini kufanya majaribio ya
 makombora ya masafa marefu siku ya Jumatatu.ENDELEA
07.09.2016
Mfahamu rais wa Ufilipino Rodrigo Duterte, kiongozi aliyemtusi Obama
 Rodrigo "Digong" Duterte ni kiongozi ambaye msimamo wake na matamshi 
yake huzua utata mara kwa mara. Amegonga vichwa vya habari tena baada ya
 kuonekana kumtusi Rais wa Marekani Barack Obama na kumuita "mwana wa 
kahaba".ENDELEA
07.09.2016
Mahakama moja nchini Ufaransa 
iliyoko pwani ya mji wa Corsica, imesita kutoa amri ya katazo kwa 
wanawake wavaa vazi la burkini,vazi hilo ambalo mwanamke avaapo huanzia 
kichwani na kustiri mwili wote, na hupendwa mno na wanawake wa Kiislam.ENDELEA 
07.09.2016
Aliyefanyiwa upandikizaji wa kwanza wa uso afariki
 Madaktari nchini Ufaransa wamefichua
 kwamba mwanamke aliyefanyiwa upasuaji wa kwanza wa upandikizaji wa sura
 alifariki mapema mwaka huu.ENDELEA
05.09.2016
Korea Kaskazini yarusha makombora mkutano wa G20 ukiendelea China
![]()  | 
| ENDELEA | 
05.09.2016
Ethiopia:Watu kadhaa wauawa katika gereza la Qilinto
Habari ambazo 
hazijathibitishwa na serikali ya Ethiopia zinasema kwamba sisasi nyingi 
zilifyatuliwa Jumamosi Agosti 3 katika gereza lenye ulinzi mkali, lililo
 karibu na mji mkuu, Addis Ababa. Inaarifia  pia kuwa moto uliwashwa 
katika gereza hilo.ENDELEA 
05.09.2016
IS yapoteza ngome zake zote kwenye mpaka wa Uturuki na Syria
Waziri Mkuu wa Uturuki Binali 
Yildirim, alisema Jumapili hii Septemba 4 kwamba mpaka wa Uturuki na 
Syria sasa uko salama kabisa na vikosi vya Uturuki vinadhibiti eneo 
hilo. Kundi la Islamic State limepoteza maeneo iliyokua ikiyashikilia 
hivi karibuni.ENDELEA 
05.09.2016
Marekani na Urusi bado sana kufikia makubaliano kuhusu mzozo wa Syria
 Serikali ya Marekani imesema 
mpaka sasa hawajafikia hatua yoyote ya kukubaliana na nchi ya Urusi 
kuhusu kumaliza vita nchini Syria, ikiutuhumu utawala wa Moscow kwa 
kurejesha masuala ambayo ilidhani walishayamaliza.ENDELEA
05.09.2016
Kanisa katoliki lamtangaza Mother Teresa kuwa mtakatifu
Sherehe za kumtangaza Mama Teresa
 kuwa mtakatifu zilifanyika kwenye ibada maalumu ya utakaso kwenye 
uwanja wa St Peters, ikiongozwa na Papa Francis mbele ya waumini zaidi 
ya laki moja waliohudhuria.ENDELEA
04.09.2016
Macho yatolewa katika kisa cha ''ushirikina Nigeria
 Kijana mwenye umri wa miaka 19 mkazi
 wa jimbo la kaskazin magharibi mwa Nigeria la Bauchi anasema kuwa macho
 yake yalitolewa na watu waliotaka kuyatumia kwa ajili ya sababu za 
ushirikina.ENDELEA
04.09.2016
Askofu Mkuu wa Canterbury, Justin Welby amekubali kwamba alikuwa na 
habari kwamba askofu Nicholas Chamberlain ni baladhuli na shoga na 
kwamba alimteua kuwa askofu kutokana na umahii wake.ENDELEA 
04.09.2016
Bikizee wa miaka 87 afungwa karibu mwaka mzima jela Ujerumani, kisa...
 Bikizee mmoja wa miaka 87 amehukumiwa kifungo cha 
miezi minane jela na mahakama moja ya nchini Ujerumaini kwa kosa la 
kukanusha tukio lililojaa utata la kuuliwa kwa umati Mayahudi nchini 
humo, maarufu kwa jina la ngano ya Holocaust.ENDELEA
04.09.2016
Marekani na China zaridhia mkataba wa Paris
Rais wa China Xi Jinping na Rais Barack Obama wa Marekani 
wamewasilisha nyaraka hizo kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban 
Ki-moon huko Hangzhou, China hii leo. ENDELEA
04.09.2016
Rais Xi Jinping wa China afafanua ufumbuzi wa kichina kwenye ufunguzi wa mkutano wa kilele wa G20
Hivi sasa uchumi wa dunia unaendelea kudidimia, huku kasi ya 
ongezeko la biashara ya kimataifa ikifikia kiwango cha chini zaidi 
katika miaka 30 iliyopita. Wakati huohuo, changamoto za kisiasa na 
kiusalama duniani pamoja na masuala mbalimbali ya kikanda, vimetatanisha
 zaidi uchumi wa dunia. Katika hali hiyo, jumuiya ya kimataifa imekuwa 
na matarajio makubwa kwa China. Kwenye hotuba yake, rais Xi Jinping wa 
China ametoa ufumbuzi wa kichina kwa uchumi wa dunia unaokabiliwa na 
matatizo.ENDELEA 
03.09.2016
Watu 500 waripotiwa kupoteza maisha yao kwa ugonjwa wa kipindupindu Kongo DR
 Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, 
jumla ya watu 500 wamepoteza maisha yao nchini Jamhuri ya Kidemokrasia 
ya Kongo, kutokana na ugonjwa wa kipindupindu.ENDELEA
03.09.2016
FBI yatoa ripoti ya uchunguzi dhidi ya Hillary Clinton kuhusu kashfa ya nyaraka za siri
Mapema mwaka huu FBI walisema kuwa Hillary alipaswa kuwa 
mwangalifu zaidi katika kutunza nyaraka za siriENDELEA 
03.09.2016
Naibu rais azindua kondomu zenye ladha Afrika Kusini
 Naibu wa rais nchini Afrika Kusini 
alichukua fursa bungeni wakati ambapo rais wa taifa hilo Jacob Zuma 
alikuwa amesafiri nje ya nchi kuwakilisha maswala ya serikali ikiwemo 
kondomu isiyo na kelele na yenye ladha ya machungwa kwa wabunge.ENDELEA
03.09.2016
Satelaiti ya Facebook ya kufikisha mtandao kasi Afrika yaharibiwa
![]()  | 
| Roketi ya Falcon 9 ilipolipuka | 
 Satelaiti
 hiyo kwa jina Amos-Six ilikuwa imebebwa na roketi ya Falcon Nine ambayo
 ililipuka ilipokuwa ikifanyiwa majaribio ya kujiandaa kwa safari ya 
siku ya Jumamosi. 
Mlipuko huo ulitokea wakati roketi hiyo ilikuwa ikijazwa mafuta na kutikiza majengo yaliyokuwa umbali wa kilomita kadhaENDELEA
Mlipuko huo ulitokea wakati roketi hiyo ilikuwa ikijazwa mafuta na kutikiza majengo yaliyokuwa umbali wa kilomita kadhaENDELEA
03.09.2016
Jackie Chan kupewa tuzo ya Oscar ya staha
 Mwelekezi na mwigizaji mashuhuri wa 
filamu Jackie Chan atapokea tuzo ya staha ya Oscar kwa mchango wake 
mkubwa katika tasnia ya filamu.ENDELEA
02.09.2016
Melania Trump ashtaki gazeti kuhusu tuhuma za ukahaba
![]()  | 
| Tuhuma kwamba alifanya kazi kama kahama ni uongo mtupu, wakili wake amesema. | 
Melania Trump amelishtaki gazeti la 
Daily Mail la Uingereza pamoja na mwanablogu wa Marekani akitaka alipwe 
$150m (£114m) kuhusiana na tuhuma kwamba alikuwa kahaba miaka ya 1990, 
wakili wake amesema.ENDELEA 
02.09.2016
Jua lapatwa Afrika
![]()  | 
| kupatwa kwa jua | 
Picha nzuri ni zile zilizoonekana nchini Tanzania ambapo tukio hilo lilichukua mda wa dakika tatu.
Kupatwa huko kwa jua pia kulionekana nchini Gabon,Congo-Brazaville,DRC Madagascar na kisiwa cha Re-union.ENDELEA
Kupatwa huko kwa jua pia kulionekana nchini Gabon,Congo-Brazaville,DRC Madagascar na kisiwa cha Re-union.ENDELEA
0 2.09.2016
Seneta afananishwa na 'kahaba mwenye hasira' Australia
![]()  | 
| Seneta Jacqui Lambie | 
Seneta mmoja anayependa kuzungumza 
sana nchini Australia amemfananisha  na ''kahaba mwenye hasira''  
mwenzake wa chama cha kihafidhina kabla ya kuomba msamaha kwa makahaba.ENDELEA 
02.09.2016
Marcel Lazar, mdukuzi wa watu maarufu adakwa Marekani
Mahakama moja nchini Marekani 
imemfunga jela raia moja mwenye asili ya nchini  Romania   kwa kosa la 
udukuzi mtandaoni kwa watu wenye hadhi za juu nchini humo ikiwemo 
familia ya  Bush.ENDELEA 
02.09.2016
Mark Zuckerberg ala ugali Kenya
 Zuckerberg
 aliyewasili siku ya Jumatano kutoka nchini Nigeria alifanya kikao na 
waziri wa habari nchini Kenya Joseph Mucheru,ambapo walizungumza kuhusu 
mtandao na mipango ya serikali kuhakikisha kila kijiji kimeunganishwa na
 mtandao.ENDELEA
01.09.2016
Walanguzi 2 wa biringanya kutoka Burundi wauawa Rwanda
 Walanguzi wawili wa biringanya raia 
wa Burundi wameuawa jana usiku upande wa Rwanda wa mpakani, kwa mujibu 
wa msemaji wa polisi wa Burundi, Pierre Nkurikiye.ENDELEA
01.09.2016
Waziri aliyesinzia mkutanoni auawa Korea Kaskazini
Serikali ya Korea Kusini imesema waziri wa elimu nchini Korea Kaskazini ameuawa na maafisa wa serikali.ENDELEA01.09.2016
Kokeini yenye thamani ya Euro milioni €50 imepatikana katika kiwanda cha Coca-Cola
Kokeini yenye thamani ya bei ya 
mtaani kiasi cha Euro 50 m imegundulika katika kiwanda cha  a Coca-Cola 
kilichopo kusini mwa Ufaransa.
01.09.2016
John Kerry akwama kwenye foleni Delhi, India
| Add caption | 
  Mvua kubwa ilinyesha na 'kukosa kutambua cheo chake'.Badala ya magari yake kupitia barabara zilizo wazi, msafara wake wa magari ulikwama kwenye foleni zaidi ya saa moja.ENDELEA
31.08.2016
Wazayuni wakiri wajibu wa kuundwa nchi huru ya Palestina
 Mkuu wa zamani wa Shirika la Kijasusi la Israel MOSSAD amesema, suala la kuundwa nchi huru la Palestina ni jambo lisiloepukika.ENDELEA
31.08.2016
Mmoja wa makamanda wa IS auawa nchini Syria
 Kundi la wapiganaji la Islamic state
 limetangaza kuwa mmoja  wa kamanda wake mwandamizi ambae ni msemaji wa 
kundi hilo, Abu Muhammad al-Adnani ameuwawa nchini Syria.ENDELEA
31.08.2016
Mapacha waliozaliwa wameungana wanajiandaa kuanza shule
 Mama yao , Angela 
Formosa, amesema watoto hao ambao kwa sasa wana umri wa miaka minne , 
kutoka eneo la la Bexleyheath Kusini mashariki mwa  mji wa London 
,"wanafuraha sana " ya kuanza shule.ENDELEA
31.08.2016
Mfungwa aapishwa kuwa Meya wa karachi
 Mfungwa mmoja ameapishwa kuwa meya mpya wa mji mkuu wa Pakistan-Karachi.ENDELEA
31.08.2016
Sheria tata za mtindo wa nywele katika shule za sekondari A.Kusini zasitishwa
| Picha ya mmoja wa waandamanaji | 
 Sheria kuhusu namna wasichana wa 
shule za sekondari wanavyochana nywele nchini Afrika Kusini  
zimesitishwa baada ya maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi 
yaliyofanywa na wanafunzi weusi, ameleza waziri nchini humoENDELEA
31.08.2016
Shambulio la hoteli lawaua watu 12 Somalia
![]()  | 
| Hoteli ya SYL nchini Somalia | 
 Hoteli hiyo imeshambuliwa mara kadhaa na al-Shabab katika miaka ya hivi karibuni..ENDELEA
30.08.2016
Mkahawa wakataa kuwahudumia wanawake Waislamu Ufaransa
 Kanda ya video mjini Paris 
ilioonyesha mkahawa mmoja ukikataa kuwahudumia wanawake wawili Waislamu 
imezua hisia kali nchini Ufaransa.ENDELEA
30.08.2016
AFRIKA KUSINI:Wanafunzi weusi wapinga amri ya kuwataka walainishe nywele
![]()  | 
| Wanafunzi wanasema kuwa amri hiyo ni ya kibaguzi | 
 Kumeshuhudiwa maandamano kwenye shule moja ya wasichana nchini Afrika 
Kusini baada ya wanafunzi weusi kuambiwa  na shule moja mjini Pretoria, 
wazilainishe nywele zao.ENDELEA
30.08.2016
Maelfu ya wahamiaji waokolewa katika pwani ya Libya
Vikosi vya uokoaji vya majini vya 
Italy vimesema vimeratibu uokoaji wa wahamiaji elfu sita na mia tano 
katika bahari ya Mediterania siku ya jumatatu. Kwa mujibu wa vikosi 
hivyo, hii ni oparesheni kubwa zaidi kuwahi kutokea katika miaka ya hivi
 karibuni.ENDELEA 
makao makuu ya polisi yateketezwa uturuki
Bomu kubwa la kutegwa ndani ya gari 
limelipuka kwenye makao makuu ya polisi  wa kutuliza ghasia  mjini 
Cizre, kusini mashariki mwa Uturuki  na kuwauwa polisi 11, na wengine 70
 wamejeruhiwa 
Wakazi wa mji wa Cizr wamekuwa chini ya tahadhari ya kutotoka nje kwa miezi kadhaa iliyotangazwa na mamlaka za Uturuki zinazopigana dhidi ya PKK.ENDELEA
26.08.2016
Mzozo wa PKK Uturuki: Shambulio la bomu lawauwa polisi 11
Bomu kubwa la kutegwa ndani ya gari 
limelipuka kwenye makao makuu ya polisi  wa kutuliza ghasia  mjini 
Cizre, kusini mashariki mwa Uturuki  na kuwauwa polisi 11, na wengine 70
 wamejeruhiwa 
Wakazi wa mji wa Cizr wamekuwa chini ya tahadhari ya kutotoka nje kwa miezi kadhaa iliyotangazwa na mamlaka za Uturuki zinazopigana dhidi ya PKK.
26.08.2016
Mwanamume India abeba maiti ya mkewe 12km
![]()  | 
| Wakati akitembea , Bw Majhi alisindikizwa na mtoto wake wa kike mwenye umri wa miaka 12 , Chaula | 
Mwanamume mmoja maskini nchini India alibebe maiti ya mkewe kwa zaidi
 ya kilomita 12 baada ya hospitali alimofariki kushindwa kumsafirisha   
kwa gari la kuwabebea wagonjwa hadi kijiji mwake.
Mke wa Dana Mjhi, Amang, mwenye umri wa 42, alifariki dunia baada ya kuugua maradhi ya kifua kikuu katika hospitali ya Ulaya, mji wa Bhawanipatna jimbo la Orissa. ENDELEA
Mke wa Dana Mjhi, Amang, mwenye umri wa 42, alifariki dunia baada ya kuugua maradhi ya kifua kikuu katika hospitali ya Ulaya, mji wa Bhawanipatna jimbo la Orissa. ENDELEA
26.08.2016
Waliofariki Italia wafika 247, manusura watafutwa
 Idadi ya watu waliofariki kutokana 
na tetemeko la ardhi katikati mwa Italia mapema Jumatano imefika 247 
huku manusura wakiendelea kutafutwa.
Maafisa wa uokoaji wanaendelea na juhudi za kutafuta manusura na miili kwenye vifusi.
![]()  | 
| Manusura eneo la Amatrice wakesha chini ya mti usiku | 
24.08.2016
Athari ya Uingereza kujiondoa Umoja wa Ulaya
24.08.2016
Jeshi la Nigeria: Makamanda watatu wa Boko Haram wameuawa, kiongozi wao amejeruhiwa vibaya
Kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram la nchini 
Nigeria inaaminika kuwa amejeruhiwa vibaya katika shambulio la anga 
lililofanywa na jeshi kaskazini mashariki mwa nchi. Hayo ni kwa mujibu 
wa duru rasmi za jeshi la nchi hiyo.
![]()  | 
| Abubakar Shekau, kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram | 
 Jeshi la anga la Nigeria limetangaza leo kuwa siku ya Ijumaa, ndege za 
kivita za jeshi hilo zilifanya shambulio kwenye msitu wa Sambisa. 
Msemaji wa jeshi, Kanali Sani Kukasheka Usman amesema makamanda watatu 
wa kundi hilo Abubakar Mubi, Malam Nuhu na Malam Hamman wameuawa; na 
kiongozi wao anayejulkana kama 'Abubakar Shekau' inaaminika kuwa 
amejeruhiwa vibaya mabegani.ENDELEA
24.08.2016
![]()  | 
| Adha ya mafuriko India | 
Zaidi ya watu 300 wanaripotiwa kufariki dunia nchini India kufuatia 
janga la mafuriko yaliyotokea mashariki na katikati mwa nchi hiyo.
Duru rasmi za serikali ya India zinaripoti kwamba, mafuriko hayo yameharibu kabisa vijiji, mazao na barabara katika maeneo yaliyoathiriwa zaidi na mafuriko hayo.ENDELEA
Duru rasmi za serikali ya India zinaripoti kwamba, mafuriko hayo yameharibu kabisa vijiji, mazao na barabara katika maeneo yaliyoathiriwa zaidi na mafuriko hayo.ENDELEA
24.08.2016
ITALIA:TETEMEKO LA ARDHI LAUA WATU SITA
Tetemeko la ardhi lenye nguvu ya  
6.2 katika vipimo vya Richter limetikisa eneo la Umbria katikati mwa 
Italia na kufukua watu chini ya vifusi, maafisa wa Italia wamesema.
22.08.2016
Mripuko wauwa 50 katika tafrja ya harusi Uturuki
Takriban watu 50 wameuwawa Jumamosi(20.08.2016) wakati anayetuhumiwa 
kuwa mripuaji wa kujitowa muhanga alipojiripuwa miongoni mwa watu 
waliokuwa wakicheza ngoma mtaani wakati wa sherehe ya harusi kusini mwa 
Uturuki.
Takriban watu 50 wameuwawa hapo Jumamosi(20.08.2016) wakati anayetuhumiwa kuwa mripuaji wa kujitowa muhanga aliporipuwa vilipuzi vyake miongoni mwa watu waliokuwa wakicheza ngoma mtaani wakati wa sherehe ya harusi kusini mwa Uturuki.ENDELEA
Afungwa miaka 5 jela kwa kumtesa mbwa Marekani
Mwanamume mmoja nchini Marekani amekiri kosa la kuufunga mdomo wa mbwa mwaka jana America Vyombo vya habari katika jimbo la South Carolina vimeripoti kuwa William Dodson, mwenye umri wa miaka 42, anakabiliwa na kifungo cha miaka mitano jela.ENDELEA


















































No comments:
Post a Comment