Most Popular

Ufaransa na katazo la vazi la Burkini,katika pwani zake

Mahakama moja nchini Ufaransa iliyoko pwani ya mji wa Corsica, imesita kutoa amri ya katazo kwa wanawake wavaa vazi la burkini,vazi hilo ambalo mwanamke avaapo huanzia kichwani na kustiri mwili wote, na hupendwa mno na wanawake wa Kiislam.
Mwanamke na vazi la Burkini pwani

Mwezi uliopita, mahakama ya juu nchini Ufaransa ilitoa uamuzi wa kupiga marufuku uvaaji wa burkini katika pwani zake kuwa ni kinyume na katiba na ukiukwaji uhuru wa umma .
Kufuatia katazo hilo Meya mmoja alitoa mari ya kusitisha na kupekuliwa kwa wanawake watakaokuwa wamevaa burkini baada ya mvutano wa waliokuwa wamevaa vazi hilo pwani wakati wa mapumziko .
Posted By: MJOMBA ZECODER

Ufaransa na katazo la vazi la Burkini,katika pwani zake

No comments:

Post a Comment

About Us

Advertisment

Like Us

© WWH-WORLD WIDE HABARI All rights reserved | Theme Designed by Mjomba Computers Published.. Blogger