Most Popular

Wanafunzi weusi wapinga amri ya kuwataka walainishe nywele

Kumeshuhudiwa maandamano kwenye shule moja ya wasichana nchini Afrika Kusini baada ya wanafunzi weusi kuambiwa na shule moja mjini Pretoria, wazilainishe nywele zao.

Mwandishi wa BBC mjini Pretoria anasema kuwa wanafunzi wamekusanyika katika shule moja mjini humo baadhi ya wakibeba mabango.

Wanafunzi wanasema kuwa amri hiyo ni ya kibaguzi

Wanafunzi weusi wanasema kuwa wamelazimishwa kuzilainisha nywele zaa wakisema kuwa hizo ni sera za kibaguzi.
Wanafunzi wakikusanyika mjini Pretoria

Wanafunzi hao waliokuwa wamekusanyika waliimba nyimbo za zilizoimbwa wakati wa kupinga ubaguzi wa rangi na kutaka kumalizwa kwa ubaguzi.
Posted By: MJOMBA ZECODER

Wanafunzi weusi wapinga amri ya kuwataka walainishe nywele

No comments:

Post a Comment

About Us

Advertisment

Like Us

© WWH-WORLD WIDE HABARI All rights reserved | Theme Designed by Mjomba Computers Published.. Blogger