Mwelekezi na mwigizaji mashuhuri wa 
filamu Jackie Chan atapokea tuzo ya staha ya Oscar kwa mchango wake 
mkubwa katika tasnia ya filamu.
![]()  | 
| Licha ya umaarufu wake, Bw Chan hajawahi kushinda tuzo ya Oscar | 
Rais wa jopo hilo Cheryl Boone Isaacs amewataja wanne hao kama "waasisi halisi na stadi katika kazi waliyoifanya".
Chan, 62, alikuwa mwigizaji nyota katika filamu nyingi za kung-fu zilizoandaliwa katika nchi yake ya kuzaliwa, Hong Kong.
![]()  | 
| Msururu wa filamu za Rush Hour ulivuma sana kimataifa | 



No comments:
Post a Comment