Most Popular

Seneta afananishwa na 'kahaba mwenye hasira' Australia

Seneta mmoja anayependa kuzungumza sana nchini Australia amemfananisha na ''kahaba mwenye hasira'' mwenzake wa chama cha kihafidhina kabla ya kuomba msamaha kwa makahaba.

Seneta Jacqui Lambie
Seneta huyo Jacqui Lambie ana historia ya kuzozana na seneta wa serikali Cory Bernadi.

Bernadi wiki hii alimkosoa Seneta wa chama cha Leba sam Dastyari ambaye ghrama yake ya kusafiri ililipwa na mfadhili mmoja wa Uchina.

Seneta Lambia alimfananisha bwana Bernadi na kahaba ambaye alikuwa anatoa ushauri kuhusu ujane.

''Kabla ya sijashtumiwa na makahaba ,ninaomba msamaha kwa kuwafananisha na Seneta Bernadi .
Posted By: MJOMBA ZECODER

Seneta afananishwa na 'kahaba mwenye hasira' Australia

No comments:

Post a Comment

About Us

Advertisment

Like Us

© WWH-WORLD WIDE HABARI All rights reserved | Theme Designed by Mjomba Computers Published.. Blogger