03.09.2016
Naibu rais azindua kondomu zenye ladha Afrika Kusini
 Naibu wa rais nchini Afrika Kusini 
alichukua fursa bungeni wakati ambapo rais wa taifa hilo Jacob Zuma 
alikuwa amesafiri nje ya nchi kuwakilisha maswala ya serikali ikiwemo 
kondomu isiyo na kelele na yenye ladha ya machungwa kwa wabunge.ENDELEA
03.09.2016
Mbunge ataka watu wenye jinsia 2 kutambulika Kenya
![]()  | 
| Mbunge wa Kenya Issack Mwaura | 
Mbunge mmoja nchini Kenya amelitaka 
bunge la taifa hilo kupitisha sheria inayotambua jinsia nyengine ya tatu
 ili kumaliza ubaguzi dhidi ya wale wanaotumbulika kuwa na jinsia mbili.ENDELEA 
02.09.2016
Daktari apatikana na video ya watu wakishiriki ngono na nyoka
Daktari
 mmoja nchini Uingereza amepatikana na hatia ya kuwa na video za ngono, 
ikiwemo moja ya mwanamume akishiriki ngono na nyoka.ENDELEA 
26.08.2016
‘Watoto bandia’ washindwa kuzuia mimba za mapema
Mradi unaolenga kupunguza idadi ya 
wasichana wanaopata mimba mapema kwa kutumia watoto bandia nchini 
Australia, huenda umesababisha matokeo ambayo hayakuwa yanatarajiwa ama 
ambayo hayakutakikana.
26.08.2016
Mwanamume ameza visu 40 nchini India
Madaktari katika mji wa Amritsar kaskazini mwa India wamesema, wametoa visu 40 kutoka kwa tumbo la mwanamume mmoja.
![]()  | 
| Visu vilivyotolewa tumbon | 
26.08.2016
Mbwa achaguliwa tena kuwa meya Minnesota, Marekani
Mbwa mmoja katika jimbo la Minnesota, Marekani amechaguliwa tena kuhudumu kama meya wa mji mmoja katika jimbo hilo.
![]()  | 
| Duke alichaguliwa mara ya kwanza kuwa meya 2014 | 
Mtoto wa Miezi Tisa Ashitakiwa Kwa Jaribio la Mauaji Pakistan
Mtoto wa miezi tosa (9) mafichoni kule LAHORE Pakistan kwa sababu ana kesi ya kujibu. Mtoto huyo pichani ambaye hata hawezi kunyanyua chupa yake ya maziwa anadaiwa kushiriki kwenye jaribio la mauaji.
Pamoja na mtoto huyo Baba yake na Babu yake wanahukumiwa pia. Sakata hilo lilianza pale polisi mmoja na mfanyakazi wa kampuni moja ya gesi aliyekuwa anakusanya bili za muda mrefu waliporushiwa mawe na waandamanaji wanaopinga kupunguzwa kwa gesi na kupandishwa bei. Kesi ya kichanga hiki inaonyesha wazi udhaifu ulioko kwenye sheria za PAkistani Hata hivyo taarifa za hivi punde kutoka LAHORE, Pakistani zinasema kuwa mahakama hiyo imemfutia kesi mtoto huyo





No comments:
Post a Comment