Most Popular

MALIMWENGU

  03.09.2016

Naibu rais azindua kondomu zenye ladha Afrika Kusini

 Naibu wa rais nchini Afrika Kusini alichukua fursa bungeni wakati ambapo rais wa taifa hilo Jacob Zuma alikuwa amesafiri nje ya nchi kuwakilisha maswala ya serikali ikiwemo kondomu isiyo na kelele na yenye ladha ya machungwa kwa wabunge.ENDELEA

 03.09.2016

Mbunge ataka watu wenye jinsia 2 kutambulika Kenya

 
Mbunge wa Kenya Issack Mwaura

Mbunge mmoja nchini Kenya amelitaka bunge la taifa hilo kupitisha sheria inayotambua jinsia nyengine ya tatu ili kumaliza ubaguzi dhidi ya wale wanaotumbulika kuwa na jinsia mbili.ENDELEA

 

02.09.2016

Daktari apatikana na video ya watu wakishiriki ngono na nyoka

Daktari mmoja nchini Uingereza amepatikana na hatia ya kuwa na video za ngono, ikiwemo moja ya mwanamume akishiriki ngono na nyoka.ENDELEA

 

  26.08.2016

‘Watoto bandia’ washindwa kuzuia mimba za mapema

 

Mradi unaolenga kupunguza idadi ya wasichana wanaopata mimba mapema kwa kutumia watoto bandia nchini Australia, huenda umesababisha matokeo ambayo hayakuwa yanatarajiwa ama ambayo hayakutakikana.
Chini ya mpango huo kwa jina Virtual Infant Parenting Programme, zaidi ya wasichana 1,000, walitakiwa kutunza watoto bandia ambao walikuwa wakipiga kelele, kulia na kutoa sauti za kunyongwa na chakula.ENDELEA

 26.08.2016

Mwanamume ameza visu 40 nchini India

Madaktari katika mji wa Amritsar kaskazini mwa India wamesema, wametoa visu 40 kutoka kwa tumbo la mwanamume mmoja.
Visu vilivyotolewa tumbon
Mwanamume huyo mwenye umri wa miaka 42 alikuwa amevimeza visu hivyo kwa muda wa miezi mitatu.ENDELEA

 

  26.08.2016

Mbwa achaguliwa tena kuwa meya Minnesota, Marekani 

Mbwa mmoja katika jimbo la Minnesota, Marekani amechaguliwa tena kuhudumu kama meya wa mji mmoja katika jimbo hilo.
Duke alichaguliwa mara ya kwanza kuwa meya 2014
Mbwa huyo kwa jina Duke ana umri wa miaka tisa na alichaguliwa mara ya kwanza kuwa meya wa mji wa Cormorant mwaka 2014, kwa mujibu wa kituo cha habari cha WDAY kituo ambacho kina ushirikiano na shirika la habari la ABC.ENDELEA

 

Mtoto wa Miezi Tisa Ashitakiwa Kwa Jaribio la Mauaji Pakistan


Mtoto wa miezi tosa (9) mafichoni kule LAHORE Pakistan kwa sababu ana kesi ya kujibu. Mtoto huyo pichani ambaye hata hawezi kunyanyua chupa yake ya maziwa anadaiwa kushiriki kwenye jaribio la mauaji.
Pamoja na mtoto huyo Baba yake na Babu yake wanahukumiwa pia. Sakata hilo lilianza pale polisi mmoja na mfanyakazi wa kampuni moja ya gesi aliyekuwa anakusanya bili za muda mrefu waliporushiwa mawe na waandamanaji wanaopinga kupunguzwa kwa gesi na kupandishwa bei. Kesi ya kichanga hiki inaonyesha wazi udhaifu ulioko kwenye sheria za PAkistani Hata hivyo taarifa za hivi punde kutoka LAHORE, Pakistani zinasema kuwa mahakama hiyo imemfutia kesi mtoto huyo

Posted By: MJOMBA ZECODER

MALIMWENGU

No comments:

Post a Comment

About Us

Advertisment

Like Us

© WWH-WORLD WIDE HABARI All rights reserved | Theme Designed by Mjomba Computers Published.. Blogger