Mapigano mapya yameanza kuhusu mzozo wa umiliki wa baadhi ya visima vikubwa vya mafuta katika maeneo ya Mashariki nchini Libya.
Generali Haftar amekataa kutambua serikali ya umoja inayotambulika kimataifa huko Tripoli na kubaki upande wa watawala mahasimu wa Mashariki.
No comments:
Post a Comment