Timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars imehitimisha safari yake ya
kuwania kucheza michuano ya mataifa ya Afrika 2017 maarufu kama AFCON
kwa kushiriki mechi ya mwisho dhidi ya Super Eagles ya Nigeria.
Taifa Stars kwenye mchezo wake huo mwa mwisho kwenye kundi G ilipokezwa kipigo cha goli 1-0, goli ambalo lilifungwa dakika ya 77 na nyota wa Nigeria anayeichezea Man City ya England Kelechi Iheanacho.
Hiki ni kipigo cha 5 Taifa Starskufungwa na Nigeria katika mechi zake nane walizowahi kukutana na Taifa Stars haijawahi kuifunga Nigeria na wameambulia sare 3 kati ya mara zote 8 walizokutana.
Taifa Stars kwenye mchezo wake huo mwa mwisho kwenye kundi G ilipokezwa kipigo cha goli 1-0, goli ambalo lilifungwa dakika ya 77 na nyota wa Nigeria anayeichezea Man City ya England Kelechi Iheanacho.
Hiki ni kipigo cha 5 Taifa Starskufungwa na Nigeria katika mechi zake nane walizowahi kukutana na Taifa Stars haijawahi kuifunga Nigeria na wameambulia sare 3 kati ya mara zote 8 walizokutana.
No comments:
Post a Comment