Most Popular

Roboti yafanya upasuaji wa macho mara ya kwanza duniani

Madaktari wametumia roboti ya kwanza kufanya upasuaji wa macho na kurejesha uwezo wa kuona kwa mgonjwa kwa mara ya kwanza duniani.

Roboti hiyo ilitumia sindano nyembaba kuondoa ngozi kutoka jicho la mgonjwa
Kundi la madaktari kutoka hospitalia ya John Radclife nchini Uingereza, walitumia roboti hiyo kutoa ngozi nyembamba zaidia kutoka jicho la mgonjwa.

Mgonjwa kwa jina Bill Beaver mwenye umri wa miaka 70 aliyefanyiwa upasuaji huo sasa anasema anahisi vyema.

Madaktari wana matumaini kuwa mfumo huo utasaidia katika upasuaji unaohitaji umakini zaidi.

Posted By: MJOMBA ZECODER

Roboti yafanya upasuaji wa macho mara ya kwanza duniani

No comments:

Post a Comment

About Us

Advertisment

Like Us

© WWH-WORLD WIDE HABARI All rights reserved | Theme Designed by Mjomba Computers Published.. Blogger