Polisi nchini Brazil wamesema kuwa  
wanahitaji kuongea na Rais wa kamati ya kimataifa ya Olympic, Thomas 
Bach,  kuhusu kuhusika na mpango haramu wa kuuza tiketi kwenye michuano 
ya Rio iliyokamilika mwezi uliopita, ambapo polisi wamesema watamhoji 
kama shahidi, na si mtuhumiwa. 
![]()  | 
| Thomas Bach Rais wa kamati ya Olimpic | 
Hickley amekanusha kuhusika na mpango wowote wa kuuza tiketi za Olimpiki. Pia bwana Thomas Bach hajarudi Rio tangu kumalizika kwa michuano ya Olympic na amekosa ufunguzi wa sherehe za Paralympic zilizofanyika siku ya jumatano.


No comments:
Post a Comment