Jean Ping mgombea mkuu wa upinzani wa kiti cha 
urais huko Gabon alidai jana Jumapili kuwa, ameshinda uchaguzi licha ya 
kambi hasimu inayoongozwa na Omar Bongo nayo kutoa madai kama hayo. 
Ping alisema jana kuwa 
amechaguliwa na kwamba anamsubiri Rais anayemaliza muda wake amuite na 
kumpongeza. Jean Ping ameyasema hayo siku mbili kabla ya kutangazwa 
matokeo rasmi ya uchaguzi wa rais.![]()  | 
| BWANA PING | 


No comments:
Post a Comment