Jean Ping mgombea mkuu wa upinzani wa kiti cha
urais huko Gabon alidai jana Jumapili kuwa, ameshinda uchaguzi licha ya
kambi hasimu inayoongozwa na Omar Bongo nayo kutoa madai kama hayo.
Ping alisema jana kuwa
amechaguliwa na kwamba anamsubiri Rais anayemaliza muda wake amuite na
kumpongeza. Jean Ping ameyasema hayo siku mbili kabla ya kutangazwa
matokeo rasmi ya uchaguzi wa rais.![]() |
BWANA PING |
No comments:
Post a Comment