Most Popular

Merkel atikiswa uchaguzi mdogo Ujerumani


Kansela wa Ujerumani,Angela Merkel ameonekana kutikiswa kisiasa huko kaskazini mashariki mwa jimbo la Mecklenburg-Pomerania.

Umaarufu wa Bi. Merkel umekuwa wa hati hati tangu aliporuhusu zaidi ya wakimbizi milioni moja kuingia Ujerumani
Kura zilizopigwa katika maeneo ya uchaguzi zinaonesha kuwa watu wanapinga wahamiaji, chama cha AfD kimepingana na chama cha Christian Democratic Union cha Bi. Merkel kwa upande mwingine.

Chama cha mrengo wa kushoto kinaonekana kuweka juu kiuchaguzi.

Umaarufu wa Bi. Merkel umekuwa wa hati hati tangu aliporuhusu zaidi ya wakimbizi milioni moja kuingia Ujerumani kwa mwaka uliopita jambo ambalo chama cha AfD linakibagua.
Kura za leo ni kipimo tosha kwake ikiwa ataendelea kusalia madarakani mara baada ya uchaguzi mkuu wa hapo mwakani.
Posted By: MJOMBA ZECODER

Merkel atikiswa uchaguzi mdogo Ujerumani

No comments:

Post a Comment

About Us

Advertisment

Like Us

© WWH-WORLD WIDE HABARI All rights reserved | Theme Designed by Mjomba Computers Published.. Blogger