Most Popular

Maafisa wa Chadema wakamatwa Tanzania

Polisi nchini Tanzania wamewakamata maafisa wa chama kikuu cha upinzani cha Chadema akiwemo mgombea wa zamani wa uraiswa chama hicho Edward Lowassa.

Haijulikani ni sababu ipi ilisababisha maaafisa hao kukamatwa.
Mgombea wa zamani Edward Lowassa ni kati ya waliokamatwa

Haijulikani ni sababu ipi ilisababisha maaafisa hao kukamatwa.

Chadema kinapanga kufanya mikutano ya nchi nzima siku ya Alhamisi kupinga kile inachotaka kuwa kuingiliwa kwa haki ya kujieleka na demokrasia nchini Tanzania tangu raia John Magufuli kuingia madarakani mwaka uliopita.

Serikali ya magufuli imepiga marufuku mikutanoa ya kisiasa nchini Tanzania.
Posted By: MJOMBA ZECODER

Maafisa wa Chadema wakamatwa Tanzania

No comments:

Post a Comment

About Us

Advertisment

Like Us

© WWH-WORLD WIDE HABARI All rights reserved | Theme Designed by Mjomba Computers Published.. Blogger