Kiongozi wa chama cha upinzani 
nchini Gabon, Jean Ping, amekata rufaa kwenye mahakama ya katiba  
kupinga matokeo ambapo amesema  aliibiwa kura kwenye uchaguzi wa mwezi 
uliopita. Rais aliyekuwa madarakani Ali Bongo alishinda kuendelea 
kuongoza nchi hiyo kwa kura chini ya elfu sita. 
![]()  | 
| Kiongozi wa chama cha upinzani nchini Gabon, Jean Ping | 
Bwana Ping amesema watu kadhaa wameuawa kwenye vurugu zilizotokea baada ya uchaguzi , lakini serikali imesema kuwa ni watatu pekee ndiyo waliuawa.


No comments:
Post a Comment