Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeazimia kuimarisha uhusiano wa kiutamaduni na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
![]() |
Mkuu wa ICRO na Waziri wa Utamaduni Tanzania |
Ibrahimi Turkman ametoa wito wa kutekelezwa makubaliano ya kiutamaduni baina ya Iran na Tanzania sambamba na kufanyika wiki ya utamaduni ya nchi mbili katika miji ya Dar es Salaam, Kilwa, Tehran na Shiraz.
Kwa upande wake, Waziri Nnauye alisema kuwa amekubaliana na wazo la kuanzishwa kwa wiki ya utamaduni kati ya Tanzania na Iran na kwamba ni fursa pekee ya kujifunza kutoka kwa Wairani namna ya kukuza, kulinda na kuuendeleza utamaduni wa Mtanzania
No comments:
Post a Comment