Most Popular

Hamisi Kiiza ajiiunga na Free state Stars ya Afrika Kusini

Mshambuliaji wa zamani wa vilabu vya Simba na Yanga, Hamisi Kiiza ameasajiliwa na klabu ya Free State Stars ya Afrika Kusini inayaoshiriki ligi kuu.

Kiiza baada ya kutemwa na klabu ya Simba aliyodumu nayo kwa msimu mmoja tu, amejiunga na klabu hiyo kwa mkataba wa miaka miwili akiwa chini ya kocha Rantsi Mokoena.

Hamisi Kiiza atambulishwa rasmi pamoja na wachezaji wengine walio sajiliwa na klabu hiyo ya Free State Stars ya Afrika Kusini.
Posted By: MJOMBA ZECODER

Hamisi Kiiza ajiiunga na Free state Stars ya Afrika Kusini

No comments:

Post a Comment

About Us

Advertisment

Like Us

© WWH-WORLD WIDE HABARI All rights reserved | Theme Designed by Mjomba Computers Published.. Blogger