Shirikisho la soka duniani , FIFA 
limezipiga  marufuku timu za  Real Madrid na Atletico Madrid kusajili 
wachezaji wapya.Zuio hilo linadaiwa kudumu mpaka mapema mwaka 2018.
![]()  | 
| Atletico Madrid wakipokea maelezo, mazoezini | 
Timu ya Real Madrid imeielezea hatua hiyo kama ukiukwaji wa haki na imeeleza dhamira yake ya kukata rufaa zaidi, katika mahakama ya Usuluhishi ya Michezo.


No comments:
Post a Comment