Most Popular

EAC yaidhinisha kiswahili kuwa lugha rasmi


Jamii ya Afrika Mashariki

Bunge la Afrika Mashariki limepitisha azimio la kuifanya lugha ya kiswahili kuwa lugha rasmi ya jamii ya Afrika Mashariki kulingana na gazeti la The Citizen nchini Tanzania.

Gazeti hilo linasema kuwa wajumbe wa bunge hilo wamekubaliana kwamba mabadiliko hayo yalikuwa yakisubiriwa sana kwa kuwa lugha hiyo imechukua jukumu kubwa la kuwaunganisha wakaazi wa Afrika Mashariki.

Hatua inayofuata ni kwamba mkataba wa EAC utalazimika kufanyiwa marekebisho
Posted By: MJOMBA ZECODER

EAC yaidhinisha kiswahili kuwa lugha rasmi

No comments:

Post a Comment

About Us

Advertisment

Like Us

© WWH-WORLD WIDE HABARI All rights reserved | Theme Designed by Mjomba Computers Published.. Blogger