![]()  | 
| Jamii ya Afrika Mashariki | 
Bunge la Afrika Mashariki 
limepitisha azimio la kuifanya lugha ya kiswahili kuwa lugha rasmi ya 
jamii ya Afrika Mashariki kulingana na gazeti la The Citizen nchini 
Tanzania.
Hatua inayofuata ni kwamba mkataba wa EAC utalazimika kufanyiwa marekebisho


No comments:
Post a Comment