![]() |
Jamii ya Afrika Mashariki |
Bunge la Afrika Mashariki
limepitisha azimio la kuifanya lugha ya kiswahili kuwa lugha rasmi ya
jamii ya Afrika Mashariki kulingana na gazeti la The Citizen nchini
Tanzania.
Hatua inayofuata ni kwamba mkataba wa EAC utalazimika kufanyiwa marekebisho
No comments:
Post a Comment