Kampuni ya Acer imezindua laptopu ya
 kwanza ilio na kioo kilichojipinda.Acer inasema kuwa uvumbuzi huo 
utaiwezesha kucheza michezo ya video.
![]()  | 
| Acer yazindua laptopu yenye kioo kilichojipinda | 
Kampuni hiyo ya Taiwan pia ilitangaza kwamba imefanikiwa kupata tekenolojia ya pet katika mkutano na wanahabari mjini Berlin.
![]()  | 
| Acer yazindua laptopu yenye kioo kilichojipinda | 
Laptopu hiyo ina kioo kikubwa ikilinganishwa na laptopu ya kawaida ya Acer,lakini ni umbo lake ambalo liliifanya kampuni hiyo kudai kuwa ya kwanza kuzinduliwa duniani.



No comments:
Post a Comment